Isaya 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”? Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.
11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?
22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.