Zaburi 119:115 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Ondokeni kwangu, enyi watenda-maovu,+Ili nipate kuzishika amri za Mungu wangu.+ Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, mimi siwachukii wale wanaokuchukia vikali, Ee Yehova,+Na je, sichukizwi na wale wanaokuasi?+