1 Samweli 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+ 1 Samweli 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye Samweli akawaambia watu: “Njooni, twende Gilgali,+ ili tuufanye upya ufalme huko.”+
24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+