-
1 Yohana 5:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Yeyote akiona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haipasishi kifo, ataomba, na yeye atampa uhai, ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi hata kupasisha kifo. Kuna dhambi ambayo yapasisha kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii afanye ombi.
-