Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wale wanaozifanya watakuwa kama hizo,+

      Wale wote wanaozitegemea.+

  • Isaya 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watajikunja; wote watainama pamoja; hawawezi kwa vyovyote kuuponyosha+ mzigo, bali nafsi yao wenyewe itaenda utekwani.+

  • Yeremia 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hizo ni kama sanamu ya kufukuza ndege ya shamba la matango, nazo haziwezi kusema.+ Nazo hakika hubebwa, kwa maana haziwezi kupiga hatua zozote.+ Zisiwatie woga, kwa maana haziwezi kufanya jambo lolote lenye kuleta msiba, na zaidi ya hayo, haziwezi kufanya wema wowote.”+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

  • 1 Wakorintho 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki