2 Mambo ya Nyakati 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini wanajeshi ambao Amazia aliwaambia warudi, wasiende pamoja naye vitani,+ walikuwa wakivamia majiji ya Yuda, kuanzia Samaria+ mpaka Beth-horoni;+ waliwaua watu 3,000 katika majiji hayo na kuchukua nyara nyingi sana.
13 Lakini wanajeshi ambao Amazia aliwaambia warudi, wasiende pamoja naye vitani,+ walikuwa wakivamia majiji ya Yuda, kuanzia Samaria+ mpaka Beth-horoni;+ waliwaua watu 3,000 katika majiji hayo na kuchukua nyara nyingi sana.