Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na Aini+ na kiwanja chake cha malisho, na Yuta+ na kiwanja chake cha malisho, Beth-shemeshi+ na kiwanja chake cha malisho; majiji tisa yalichukuliwa kutoka katika makabila hayo mawili.

  • 1 Samweli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nanyi mnapaswa kutazama: likipanda barabara inayoelekea kwenye eneo lake, kuelekea Beth-shemeshi,+ basi yeye ndiye ametutendea huu uovu mkubwa; lakini kama sivyo, tutajua kwamba haukuwa mkono wake uliotugusa; bali ni msiba+ tu uliotuangukia.”

  • 1 Samweli 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70​—​watu 50,000​—​kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki