2 Mambo ya Nyakati 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Amazia aliporudi baada ya kuwaua Waedomu, alileta miungu ya watu wa Seiri na kuisimamisha ili iwe miungu yake mwenyewe,+ naye akaanza kuinama mbele ya miungu hiyo na kuifukizia moshi wa dhabihu.
14 Lakini Amazia aliporudi baada ya kuwaua Waedomu, alileta miungu ya watu wa Seiri na kuisimamisha ili iwe miungu yake mwenyewe,+ naye akaanza kuinama mbele ya miungu hiyo na kuifukizia moshi wa dhabihu.