Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usiwe na miungu mingine yoyote ila mimi.*+

  • Kutoka 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuviabudu,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu,+ nami huwaadhibu watoto kwa sababu ya makosa ya baba zao, kufikia kizazi cha tatu na kizazi cha nne cha wale wanaonichukia,

  • Kumbukumbu la Torati 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mnapaswa kuchoma moto sanamu za kuchongwa za miungu yao.+ Msitamani fedha na dhahabu ya sanamu hizo wala msiichukue,+ ili isiwe mtego kwenu, kwa maana ni chukizo kwa Yehova Mungu wenu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na wakati alipokuwa akiteseka, Mfalme Ahazi alikosa hata zaidi kuwa mwaminifu kwa Yehova. 23 Akaanza kuitolea dhabihu miungu ya Damasko+ iliyokuwa imemshinda,+ akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia, nitaitolea dhabihu ili inisaidie.”+ Lakini miungu hiyo ilimfanya yeye na Waisraeli wote wajikwae.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki