5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+
25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako.