Methali 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+ Yakobo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+
19 Anayesimama imara kwa ajili ya uadilifu anaelekea kupata uzima,+ lakini anayefuatilia yaliyo mabaya anaelekea kwenye kifo chake mwenyewe.+
18 Zaidi ya hayo, mbegu ya tunda+ la uadilifu+ hupandwa chini ya hali zenye amani+ kwa wale wanaofanya amani.+