Methali 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+ Methali 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+
36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+