Methali 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Utendaji wa mwadilifu hutokeza uzima;+ mazao ya mwovu hutokeza dhambi.+ Methali 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Katika mapito ya uadilifu kuna uzima,+ na kusafiri katika njia yake kunamaanisha hakuna kifo.+ Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+ Matendo 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+ Ufunuo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+
4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+