Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Utendaji wa mwadilifu hutokeza uzima;+ mazao ya mwovu hutokeza dhambi.+

  • Methali 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Katika mapito ya uadilifu kuna uzima,+ na kusafiri katika njia yake kunamaanisha hakuna kifo.+

  • Habakuki 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+

  • Matendo 10:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.+

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki