Methali 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Matunda ya mwadilifu ni mti wa uzima,+ naye anayevuta nafsi za watu ni mwenye hekima.+ Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+ Wagalatia 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+
4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+
8 kwa sababu yeye anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake,+ lakini yeye anayepanda kwa roho+ atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+