Kumbukumbu la Torati 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+ Isaya 45:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ninyi mbingu, sababisheni mtiririko kutoka juu;+ na anga zenye mawingu zitiririshe uadilifu.+ Dunia na ifunguke, nayo izae wokovu, nayo ichipushe uadilifu+ wakati uleule. Mimi mwenyewe, Yehova, nimeiumba.”+
2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+
8 “Ninyi mbingu, sababisheni mtiririko kutoka juu;+ na anga zenye mawingu zitiririshe uadilifu.+ Dunia na ifunguke, nayo izae wokovu, nayo ichipushe uadilifu+ wakati uleule. Mimi mwenyewe, Yehova, nimeiumba.”+