Isaya 61:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+ 1 Wakorintho 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikuza;+
11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+