Hosea 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mjipandie mbegu kwa uadilifu;+ mvune kulingana na fadhili zenye upendo.+ Mjilimie udongo unaofaa kwa kilimo,+ kukiwa kungali na wakati wa kumtafuta Yehova mpaka atakapokuja+ na kuwatolea ninyi mafundisho kwa uadilifu.+ 2 Petro 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini kulingana na ahadi yake tunangojea mbingu mpya+ na dunia mpya,+ na humo uadilifu utakaa.+
12 Mjipandie mbegu kwa uadilifu;+ mvune kulingana na fadhili zenye upendo.+ Mjilimie udongo unaofaa kwa kilimo,+ kukiwa kungali na wakati wa kumtafuta Yehova mpaka atakapokuja+ na kuwatolea ninyi mafundisho kwa uadilifu.+