Methali 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu asiyezuia roho yake ni kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta.+ Wakolosai 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+
12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+