Ezekieli 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na miti yote ya shambani italazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimeushusha ule mti mrefu na kuukweza ule mti mfupi;+ nimeukausha ule mti mbichi na kuufanya mti uliokauka usitawi.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimefanya hivyo.”’”
24 Na miti yote ya shambani italazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimeushusha ule mti mrefu na kuukweza ule mti mfupi;+ nimeukausha ule mti mbichi na kuufanya mti uliokauka usitawi.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimefanya hivyo.”’”