1 Samweli 2:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+Hushusha, naye hukweza.+ 8 Humwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;Humwinua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+Ili awafanye wakae pamoja na wakuu,Na kuwapa kiti cha heshima. Nguzo za dunia ni za Yehova,+Naye huweka nchi inayozaa juu yake. Luka 1:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Amewashusha watu wenye nguvu kutoka kwenye viti vya ufalme+ na kuwainua watu wa hali ya chini;+
7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+Hushusha, naye hukweza.+ 8 Humwinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;Humwinua maskini kutoka katika rundo la majivu,*+Ili awafanye wakae pamoja na wakuu,Na kuwapa kiti cha heshima. Nguzo za dunia ni za Yehova,+Naye huweka nchi inayozaa juu yake.