Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+

  • Danieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na kutakuwa na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao wataamka,+ hawa kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo+ na wale kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yohana 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+

  • Matendo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia.

  • Waebrania 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.

  • Ufunuo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,+ wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki