2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+ Ufunuo 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima+ alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+
15 Zaidi ya hayo, yeyote ambaye hakupatikana ameandikwa katika kile kitabu cha uzima+ alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.+