19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
2 Na kutakuwa na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao wataamka,+ hawa kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo+ na wale kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo.+