Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Nitawakomboa wao kutoka katika mkono wa Kaburi;*+ nitawaokoa wao+ kutoka kwenye kifo. Ee Kifo, iko wapi michomo yako?+ Ee Kaburi,* yako wapi maangamizi yako?+ Huruma itafichwa kutoka machoni pangu.+

  • Yohana 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+

  • Matendo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nami nina tumaini+ kwa Mungu, tumaini ambalo watu hawa pia wanalo, kwamba kutakuwa na ufufuo+ wa waadilifu+ na wasio waadilifu+ pia.

  • 1 Wakorintho 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+

  • Ufunuo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,+ wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki