Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+ Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+