Hesabu 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+ Mathayo 26:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+
6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+
65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+