7 Mara tu mfalme wa Israeli aliposoma barua hiyo, aliyararua mavazi yake na kusema: “Je, mimi ni Mungu, ninaweza kuua na kumfanya mtu aendelee kuwa hai?+ Kwa maana anamtuma mtu huyu kwangu na kuniambia nimponye ukoma wake! Mnaona wenyewe kwamba anatafuta ugomvi nami.”