Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wanawe wote na binti zake wote wakawa wakiondoka ili kumfariji,+ lakini akawa akizidi kukataa kufarijiwa na kusema:+ “Kwa maana nitashuka kuingia katika Kaburi* nikimwombolezea mwanangu!” Na baba yake akaendelea kumlilia.

  • Mwanzo 42:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini, akasema: “Mwanangu hatashuka kwenda nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa naye amebaki peke yake.+ Tukio lenye kufisha likimpata katika njia mtakayoiendea, basi bila shaka mtazishusha mvi zangu kwa huzuni mpaka katika Kaburi.”*+

  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Zaburi 88:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana nafsi yangu imepata misiba ya kutosha,+

      Na maisha yangu yamekaribiana na Kaburi.*+

  • Mhubiri 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+

  • Hosea 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Nitawakomboa wao kutoka katika mkono wa Kaburi;*+ nitawaokoa wao+ kutoka kwenye kifo. Ee Kifo, iko wapi michomo yako?+ Ee Kaburi,* yako wapi maangamizi yako?+ Huruma itafichwa kutoka machoni pangu.+

  • Mathayo 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wewe, Kapernaumu,+ je, labda utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka+ chini mpaka katika Kaburi;*+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zilizofanyika ndani yako zingalifanyika Sodoma, lingalidumu mpaka leo hii.

  • Matendo 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.+

  • Ufunuo 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na bahari ikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wale wafu+ waliokuwa ndani yake, nao walihukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki