Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake lenye fahari+ alilokuwa amejichimbia katika Jiji la Daudi;+ nao wakamlaza katika kitanda kilichojazwa mafuta ya zeri+ na aina mbalimbali za marhamu+ iliyochanganywa katika marhamu ya aina ya pekee.+ Tena wakamfanyia mfukizo wa mazishi+ ulio mkubwa isivyo kawaida.

  • Isaya 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wafalme wengine wote wa mataifa, ndiyo, wote, wamelala katika utukufu, kila mmoja katika nyumba yake mwenyewe.+

  • Ezekieli 32:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katikati ya waliouawa wameweka kitanda+ kwa ajili yake katikati ya umati wake wote. Makaburi yake yanakizunguka pande zote. Hao wote hawajatahiriwa, wakiwa wameuawa kwa upanga,+ kwa sababu hofu yao ilisababishwa katika nchi ya wale walio hai; nao watachukua fedheha yao pamoja na wale wanaoshuka kuingia katika shimo. Yeye amewekwa katikati ya waliouawa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki