-
Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Hatimaye, Waisraeli walifika Mlima Nebo. Miriamu alikufa huko Kadeshi, naye Haruni akafa kwenye Mlima Hori. Musa naye alikufa mahali ambapo angeweza kuona nchi aliyotamani kuingia. (Kum 32:48-52; 34:1-5) Yoshua alipewa jukumu la kuwaongoza Waisraeli hadi nchi hiyo, na hivyo kumaliza safari iliyoanza miaka 40 mapema.—Yos 1:1-4.
-
-
Kutoka Misri Hadi Nchi Ya Ahadi‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
I1 Ml. Nebo
-