Kutoka 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami, naam, mimi najua vema kwamba mfalme wa Misri hatawapa ruhusa ya kwenda isipokuwa kupitia kwa mkono wenye nguvu.+ Kumbukumbu la Torati 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Yehova akatuleta kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa+ na kwa woga+ mkuu na kwa ishara na miujiza.+ Luka 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;
19 Nami, naam, mimi najua vema kwamba mfalme wa Misri hatawapa ruhusa ya kwenda isipokuwa kupitia kwa mkono wenye nguvu.+
8 Mwishowe Yehova akatuleta kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa+ na kwa woga+ mkuu na kwa ishara na miujiza.+
19 Naye akawaambia: “Mambo gani?” Wakamwambia: “Yale mambo kuhusu Yesu Mnazareti,+ aliyekuwa nabii+ mwenye nguvu katika kazi na neno mbele za Mungu na watu wote;