Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+

  • Kutoka 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Farao hatawasikiliza ninyi;+ nami nitalazimika kuuweka mkono wangu juu ya Misri na kuleta majeshi yangu,+ watu wangu,+ wana wa Israeli,+ kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Yehova akauacha moyo wa Farao mfalme wa Misri uwe mkaidi,+ naye akawafuatilia wana wa Israeli, huku wana wa Israeli wakienda kwa mkono ulioinuliwa.+

  • Waroma 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki, ili kuhusiana na wewe nionyeshe nguvu zangu, na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki