Mwanzo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!” Mwanzo 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+
27 Na ikawa kwamba Isaka alipokuwa mzee na macho yake yalikuwa yameingia giza mno asiweze kuona,+ akamwita Esau mwana wake mkubwa na kumwambia:+ “Mwanangu!” naye akamjibu: “Mimi hapa!”
10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+