Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utajibu na kusema mbele za Yehova Mungu wako, ‘Baba yangu alikuwa Msiria+ anayeangamia; naye akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni akiwa na hesabu ndogo sana;+ lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+

  • Zaburi 105:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Israeli akaingia Misri,+

      Na Yakobo mwenyewe akakaa akiwa mgeni katika nchi ya Hamu.+

  • Isaya 52:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Watu wangu waliteremka kwenda Misri hapo kwanza ili kukaa wakiwa wageni;+ nayo Ashuru ikawakandamiza bila sababu.”

  • Matendo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki