Mwanzo 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Abrahamu akakaribia na kuanza kusema: “Je, kweli utafagilia mbali mwadilifu pamoja na mwovu?+ Kutoka 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?
23 Kisha Abrahamu akakaribia na kuanza kusema: “Je, kweli utafagilia mbali mwadilifu pamoja na mwovu?+
11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?