30 Baada ya hayo mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova pamoja na wanaume wote wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, makuhani, Walawi—watu wote, wadogo kwa wakubwa. Akasoma, watu wote wakisikia, maneno yote ya kitabu cha agano kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+