Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya hayo mfalme akapanda kwenda katika nyumba ya Yehova pamoja na wanaume wote wa Yuda, wakaaji wote wa Yerusalemu, makuhani, na manabii—watu wote, kuanzia mdogo mpaka mkubwa. Akasoma, watu wote wakisikia, maneno yote ya kitabu+ cha agano+ kilichokuwa kimepatikana katika nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova aliendelea kuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za awali za Daudi babu yake+ naye hakutafuta Mabaali.

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Walianza kufundisha nchini Yuda, wakiwa na kitabu cha Sheria ya Yehova,+ nao walizunguka katika majiji yote ya Yuda wakiwafundisha watu.

  • Nehemia 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaisoma kwa sauti kubwa+ katika uwanja wa jiji mbele ya Lango la Maji, kuanzia asubuhi hadi adhuhuri, akawasomea wanaume, wanawake, na wote ambao wangeweza kuelewa; nao watu wakasikiliza kwa makini+ kitabu cha Sheria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki