Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani. Waefeso 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke+ wake kama vile Kristo pia alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu. Wakolosai 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote;
23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke+ wake kama vile Kristo pia alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu.
18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili yeye awe ndiye wa kwanza+ katika vitu vyote;