Yoshua 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa: Waebrania 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.
1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa:
8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.