Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+

  • Yeremia 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bado nitakujenga upya nawe kwa kweli utajengwa upya,+ Ee bikira wa Israeli. Bado utajipamba kwa matari yako na kwa kweli utaenda katika dansi ya wale wanaocheka.+

  • Yeremia 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+

  • Zekaria 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akamwambia: “Kimbia, useme na yule kijana pale, umwambie, “ ‘Yerusalemu litakaliwa na watu+ kama nchi ya mashambani iliyo wazi, kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama wa kufugwa walio ndani yake.+

  • Mathayo 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nitakilinganisha kizazi hiki na nani?+ Ni kama watoto wachanga ambao wameketi masokoni wanaowapaazia sauti wachezaji wenzao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki