Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama Sayuni,+ mji wa pindi zetu za sherehe!+ Macho yako mwenyewe yataliona Yerusalemu likiwa makao yasiyo na usumbufu, hema ambalo hakuna atakayelikunja.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe, wala hata kamba yake moja haitakatwa.+

  • Isaya 44:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+

  • Yeremia 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Yuda na majiji yake yote hakika watakaa ndani yake pamoja, wakulima na wale ambao wameondoka wakiwa na kundi.+

  • Yeremia 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+

  • Zekaria 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Wanaume wazee na wanawake wazee watakaa tena katika viwanja vya watu wote vya Yerusalemu,+ kila mmoja na fimbo yake+ mkononi mwake kwa sababu ya wingi wa siku zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki