20 Tazama Sayuni,+ mji wa pindi zetu za sherehe!+ Macho yako mwenyewe yataliona Yerusalemu likiwa makao yasiyo na usumbufu, hema ambalo hakuna atakayelikunja.+ Vigingi vyake vya mahema havitang’olewa kamwe, wala hata kamba yake moja haitakatwa.+
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+
10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+
4 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Wanaume wazee na wanawake wazee watakaa tena katika viwanja vya watu wote vya Yerusalemu,+ kila mmoja na fimbo yake+ mkononi mwake kwa sababu ya wingi wa siku zake.