Zaburi 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu yuko katikati ya jiji;+ halitatikisika.+Mungu atalisaidia wakati wa mapambazuko ya asubuhi.+ Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+
125 Wale wanaomtegemea Yehova+Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+