12 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Katika mahali hapa palipo ukiwa bila mwanadamu na hata mnyama wa kufugwa+ na katika majiji yake yote bado patakuwa na uwanja wa malisho wa wachungaji wanaolilaza kundi.’+
10 Nami nitazidisha binadamu juu yenu, nyumba yote ya Israeli, naam, nyumba yote,+ na majiji yatakaliwa,+ na mahali palipoharibiwa penyewe patajengwa upya.+