43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+
62 Nawe useme, ‘Ee Yehova, wewe mwenyewe umesema juu ya mahali hapa, kupakatilia mbali ili kwamba mkaaji+ yeyote asiwe ndani yake, mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, bali pawe mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.’