Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+

  • Isaya 58:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kwa mwongozo wako hakika watu watajenga mahali palipoharibiwa muda mrefu;+ utaisimamisha misingi ya vizazi vyenye kufuatana.+ Na wewe kwa kweli utaitwa mrekebishaji wa tundu,+ mtengenezaji wa barabara za kukaa kando yake.

  • Isaya 61:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao watajenga upya mahali palipoharibiwa kwa muda mrefu;+ watasimamisha mahali palipofanywa ukiwa pa nyakati za kale,+ nao hakika watajenga upya yale majiji yaliyoharibiwa,+ mahali palipofanywa ukiwa kwa kizazi baada ya kizazi.

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki