5 Kisha nikamwambia mfalme: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme,+ na ikiwa mtumishi wako anaonekana mwema mbele yako,+ unitume Yuda, kwenye jiji la makaburi ya mababu zangu, nipate kulijenga upya.”+
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+