6Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Geshemu+ Mwarabu+ na wale adui zetu wengine walipoambiwa kuwa nimejenga upya ukuta+ na kwamba hakuna shimo lolote limebaki ndani yake (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeisimamisha milango+ katika malango),+
11 “ ‘Katika siku hiyo nitakisimamisha+ kibanda+ cha Daudi ambacho kimeanguka,+ nami nitayarekebisha matundu yao. Na mabomoko yake nitayasimamisha, nami nitakijenga kama katika siku za kale,+