Yeremia 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova wa majeshi anasema hivi, ‘Katika eneo hili lenye ukiwa, lisilo na mtu au mifugo, na katika majiji yake yote kutakuwa tena na malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao.’+
12 “Yehova wa majeshi anasema hivi, ‘Katika eneo hili lenye ukiwa, lisilo na mtu au mifugo, na katika majiji yake yote kutakuwa tena na malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao.’+