Isaya 65:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sharoni+ itakuwa malisho ya kondooNa Bonde la* Akori+ mahali pa kupumzika pa ng’ombe,Kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta. Yeremia 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na mashamba yatanunuliwa tena katika nchi hii,+ ingawa mnasema: “Ni nchi yenye ukiwa isiyo na mwanadamu wala mnyama, nayo imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.”’
10 Sharoni+ itakuwa malisho ya kondooNa Bonde la* Akori+ mahali pa kupumzika pa ng’ombe,Kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.
43 Na mashamba yatanunuliwa tena katika nchi hii,+ ingawa mnasema: “Ni nchi yenye ukiwa isiyo na mwanadamu wala mnyama, nayo imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.”’