19 Basi ikiwa mnaona nchi mliyorithi si safi, vukeni na kuingia katika nchi ya Yehova+ ambayo ina hema la ibada+ ya Yehova mkae kati yetu, lakini msimwasi Yehova, wala msitufanye tuwe waasi kwa kujijengea madhabahu nyingine zaidi ya madhabahu ya Yehova Mungu wetu.+